1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kifaa cha kujikinga dhidi ya malaria Uganda

01:39

This browser does not support the video element.

4 Septemba 2020

Zaidi ya asilimia 90 ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa malaria vinatokea barani Afrika. Hatua juhudi za kupambana na ugonjwa huo, mhandisi Julius Twine kutoka Uganda amevumbua njia asilia ya kuwadhibiti mbu wanaoambukiza ugonjwa huo. Tazama ufahamu zaidi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW