1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kifua kikuu chawatesa wanaume kuliko wanawake nchini Kenya-Ripoti

03:47

This browser does not support the video element.

Daniel Gakuba
7 Novemba 2022

Ripoti ya utafiti mpya uliofanyika nchini Kenya, imeonyesha kuwa theluthi mbili ya watu wanaougua kifua kikuu (TB) nchini humo ni wanaume. Sababu mojawapo ya hali hiyo, ni kuwa wanaume hupenda kujumuika kuliko makundi mengine katika jamii. Serikali ya nchi hiyo imeelekeza juhudi katika kuwakinga wanaume na ugonjwa huo na mengine kadhaa yanayowaandama.#Kurunzi Afya

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW