1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kikwete ataachia uenyekiti wa CCM?

Elizabeth Shoo5 Mei 2016

Kuna ripoti kwamba mchakato wa mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete kukabidhi nafasi hiyo kwa Rais Magufuli umekuwa ukisuwasuwa kutokana na madai kuwa mwenyekiti huyo hataki au anachelewsha kwa makusudi.

John Pombe Magufuli na Jakaya Kikwete
Picha: Getty Images/AFP/Stringer

[No title]

This browser does not support the audio element.

Jambo hilo linalelezwa kuzusha mgawanyiko ndani ya chama hicho kikongwe barani Afrika. Kufuatia taarifa hizo DW imezungumza na msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka na kwanza ameulizwa yaliyotokana na kikao cha Kamati Kuu cha Mei 3 mjini Dodoma.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW