1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kilimo bila Kemikali

10 Juni 2015

Taasisi ya Mafunzo ya ZEF mjini Bonn, Ujerumani iliandaa warsha kuhusu nji aza kuendeleza kilimo pasi na kutumia kemikali Jumatatu (01.06.2015)

Bonn - PK Globale Landwirtschaft
Picha: DW/Geoffrey Mung'ou

Juhudi za kulinda mazingira zinazidi kuimarishwa kote duniani. Taasisi ya Milenium Institute yenye makao yake jijini Washington DC, inaendeleza harakati za kuwahamasisha wakulima kote duniani kuhusu njia za kuendeleza kilimo bila kutumia kemikali, ili kuepusha athari zake kwa mazingira. Geoffrey Mung’ou alizungumza na Juliet Wanjiku Kamau wa ZEF - Bonn.

Kusikiliza mahojiano haya bonyeza alama ya spika hapo chini.

Mwandishi:Geoffrey Mung'ou

Mhariri:Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW