1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kilimo bila udongo Zanzibar

03:44

This browser does not support the video element.

22 Desemba 2023

Mapinduzi ya kilimo cha kutotumia udongo kinaleta chachu ya mabadiliko katika Maeneo yasiyo na ardhi yenye rutuba, visiwani Zanzibar. Kijana Rashid Ali Rashid wa kampuni ya Aatif Aquaponics anakabili changamoto ya ardhi kwa kutumia kilimo cha ndoo ili kutimiza ndoto za kufanya kilimo katika ardhi ya mawe visiwani Zanzibar.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW