1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kina mama wapinga unyanyasaji dhidi ya wanaonyonyesha hadharani

00:47

This browser does not support the video element.

15 Mei 2018

Kina mama wa Kenya ,jijini Nairobi waandamana kupinga udhalilishaji wa kina mama wanaonyonyesha,Ni baada ya kuzuka kisa mwanzoni mwa mwezi huu cha kudaiwa kunyanyaswa kwa mama aliyekuwa akimnyonyesha mwanawe katika mgahawa mmoja bila ya kujifunika matiti.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW