1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Usalama wa Mitandao ya Kijamii

25 Juni 2015

Mitandao ya kijamii imeendelea kutumiwa vibaya kama vyombo vya kuchochea itikadi kali na usajikli wa wanamgambo wenye misimamo mikali ya kidini. Serikali zinakabiliwa na changamoto kubwa ya vipi kuikabili halii hii tete.

GMF Tansania Dar es Salaam Interview
Picha: DW

[No title]

This browser does not support the audio element.

Kinagaubaga leo inaangalia mitandao ya kijamii, usalama wake na uhalifu unaofanywa humo. Ungana na Josephat Charo akizungumza na Bakari Machumu, Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano ya Mwananchi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania.

Mwandishi: Josephat Charo

Mhariri: Mohammed Abdulrahman

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW