Utawala wa sheriaTanzaniaKiongozi wa upinzani Tanzania apandishwa tena kizimbani01:16This browser does not support the video element.Utawala wa sheriaTanzaniaFlorence Majani09.09.20259 Septemba 2025Tizama mwanasiasa kigogo wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu akifikishwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu, huko Dar es Salaam kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili. Duru zinasema kulikuwa na ulinzi mkali wa vyombo vya dola.Nakili kiunganishiMatangazo