1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KISMAYO:Kismayo bado kunatisha

4 Oktoba 2006

Wanamgambo wa kiislamu nchini Somalia wamefanya maandamano makubwa katika mji wa Kismayo leo ambapo maelfu ya watu walihudhuria kupinga mipango ya kupelekwa kikosi cha kulinda amani.

Wanamgambo hao wamewaambia wafuasi wao wataanzisha vita vitakatifu dhidi ya kundi lolote litakalodhubutu kusimamisha maendeleo yake ya kijeshi.

Hii imekuja siku moja baada ya wanamgambo wanaiunga mkono serikali dhaifu ya Somalia kuapa kuukomboa mji huo wa bandari.

Wanamgambo hao waliuteka mji wa Kismayo wiki iliyopita bila ya kutokea umwagikaji wa damu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW