1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kituo cha Hits FM chashambuliwa Zanzibar

Mjahida3 Desemba 2015

Kundi la watu wasiojulikana wenye silaha usiku wa kuamkia Alhamisi wameivamia na kuiteketeza studio ya kituo hicho cha kibinafsi kilichopo eneo la Migombani, jimbo la Kikwajuni visiwani Zanzibar.

Studio za HitsFM
Picha: Hits FM

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW