1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kituo cha huduma kwa watoto wenye mahitaji mjini Mtwara

03:23

This browser does not support the video element.

22 Desemba 2021

Kutana na Christina Chacha anayethubutu kusaidia jamii yake kulea watoto wenye mahitaji maalumu wakiwemo wenye ulemavu wa akili, ulemavu wa viungo pamoja na tatizo la usonji kupitia taasisi yake ya Upendo Rehabilitation mjini Mtwara ,kwa kuwapatia watoto hao mafunzo kwa vitendo, tiba lishe na masomo katika mtaala wao maalum.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW