1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kituo cha wahamiaji chashambuliwa Libya

01:06

This browser does not support the video element.

3 Julai 2019

Zaidi ya watu 44 wameuawa katika shambulizi la angani lililokipiga kituo cha kuwazuilia wahamiaji mjini Tripoli, Libya. Zaidi ya watu 130 wamejeruhiwa

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW