Kombe la dunia:Brazil yaichapa Korea Kaskazini
16 Juni 2010![](https://static.dw.com/image/5686531_800.webp)
Matangazo
Katika mechi zingine Ivory Coast na Ureno ziitoka bila kwa bila, na New Zealand ilirudisha goli katika dakika za mwisho na kutoka sare na Slovakia-bao moja kwa moja.
Leo Honduras itapambana na Chile. Uhispania itacheza na Uswis na mwenyeji wa mashindano Afrika Kusini itaingia tena uwanjani kuchuana na Uruguay.