1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kombe la dunia:Brazil yaichapa Korea Kaskazini

Mtullya Abdu16 Juni 2010

Katika mashindano ya kugonbea kombe la dunia nchini Afrika kusini, Brazil iliichapa Korea ya Kaskazini mabao 2 kwa moja.

Mchezaji maaruf wa Brazil Kaka na mwenzake Robinho.Picha: picture-alliance/dpa

Katika mechi zingine Ivory Coast na Ureno ziitoka bila kwa bila, na New Zealand ilirudisha goli katika dakika za mwisho na kutoka sare na Slovakia-bao moja kwa moja.

Leo Honduras itapambana na Chile. Uhispania itacheza na Uswis na mwenyeji wa mashindano Afrika Kusini itaingia tena uwanjani kuchuana na Uruguay.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW