Raia wa visiwa vya Komoro wanapiga kura ya maoni leo ya kufanya mabadiliko ya katiba, ikiwa ni pamojana kufutilia mbali utaratibu unaofuatwa hivi sasa wa kupokezana urais kati ya visiwa vitatu vikuu, kila baada ya miaka mitano. Upinzani umeahidi kuyapinga vikali mapendekezo hayo.