1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongamano juu ya maswala ya ushirika mwema na Afrika mjini Berlin

27 Aprili 2007

Kongamano juu ya maswala ya ushirika mwema na Afrika katika kuleta mageuzo imeendelea leo mjini Berlin.

Mwandalizi wa kongamano ni Baraza la Pamoja la Kanisa na Maendeleo linaloyajumuisha makanisa ya kikristo ya Ujerumani madhehebu ya kikatoliki na kiinjili katika harakati zao za misaada ya maendeleo. Mada kuu ya majadiliano leo asubuhi ilikuwa utaratibu wa huduma za afya wa kudumu.

Kwa habari zaidi sikilizeni ripoti ya mwandishi wetu Petra Stein kutoka mjini Berlin.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW