1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongamano kuhusu elimu lafanyika mjini Mombasa,Kenya

14 Septemba 2009

Kongamano la siku tatu kuhusu elimu kama chombo cha kuleta amani limeanza leo mjini Mombasa,Kenya.

Mawaziri wa elimu kutoka mataifa yaliyokumbana na migogoro ya kivita barani Afrika wanakutana mjini Mombasa, Kenya kuhudhuria kongamano la siku tatu kuhusu elimu kama chombo cha kuleta amani katika ukanda huo. Mwandishi wetu Eric Ponda kutoka Mombasa anahudhuria kongamano hilo na ametuandalia taarifa ifuatayo:

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW