Kongamano kuhusu elimu lafanyika mjini Mombasa,Kenya
14 Septemba 2009Matangazo
Mawaziri wa elimu kutoka mataifa yaliyokumbana na migogoro ya kivita barani Afrika wanakutana mjini Mombasa, Kenya kuhudhuria kongamano la siku tatu kuhusu elimu kama chombo cha kuleta amani katika ukanda huo. Mwandishi wetu Eric Ponda kutoka Mombasa anahudhuria kongamano hilo na ametuandalia taarifa ifuatayo: