1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongamano la Dar es Salaam kukabiliana na uhalifu wa fedha

19 Aprili 2007

Wanasheria wa serikali kutoka nchin za Kusini na Mashariki ya Afrika wanakutana Tanzania kwa kongamano la mafunzo ya jinsi ya kukabiliana na mashtaka ya ubadhirifu wa fedha.

Uhalifu huu umeripotiwa kuathiri maendeleo ya kimsing barani Afrika.

Mwandishi wetu Christopher Buke anaripoti zaidi kutoka Tanzania.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW