Vyombo vya habariKongamano la GMF 2026 laanza kwa mazungumzo muhimu02:42This browser does not support the video element.Vyombo vya habariSylvia Mwehozi23.06.202623 Juni 2026Kongamano la kimataifa la vyombo vya habari la GMF ambalo linaandaliwa kila mwaka na DW, limeanza rasmi mjini Bonn, likiwaleta pamoja washiriki kutoka nchi zaidi ya 100. Nakili kiunganishiMatangazo