1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongamano la lugha ya Kiswahili mjini Nairobi,Kenya

26 Agosti 2009

<p>Kongamano la Kiswahili linaanza hii leo mjini Nairobi Kenya. Kongamano hilo la Chama cha Kiswahili cha Taifa Kenya (CHAKITA) lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Nairobi litamalizika Agosti 29, mwaka huu.

Jiji la Nairobi kunakofanyika Kongamano la KiswahiliPicha: picture-alliance / TPH Bildagentur / Spectrum
Grace Kabogo alizungumza na Omar Babu Marijani, Mhadhiri wa Kiswahili, mwandishi wa vitabu na mwandishi wa habari, anayehudhuria kongamano hilo na alianza kumuuliza hasa lengo kuu la kongamano hilo:

Mtayarishaji: Grace Patricia Kabogo

Mhariri:Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW