Kongo Mashariki: Kundi la waasi FRPI lajiunga na jeshi la Serikali
27 Februari 2012Matangazo
Inatarajiwa kuwa nia ya wanamgambo hao kuondoka msituni inaweza kuchangia katika kurejesha amani katika mkoa mdogo wa Ituri huko mashariki mwa nchi hiyo .
Mwandishi wetu John Kanyunyu anaarifu zaidi.
(Kusikiliza makala hii, bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: John kanyunyu
Mpitiaji: Sudi Mnette