1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongo mwanachama mpya wa jumuiya ya EAC

03:04

This browser does not support the video element.

30 Machi 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) taifa kubwa lilojaa utajiri wa maliasili litakuwa mwanachama wa saba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. DRC imejiunga rasmi na jumuiya hiyo Jumanne ya tarehe 29.03.2022.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW