Kongo na Rwanda kutia saini makubaliano ya amani
25 Aprili 2025
Matangazo
Makubaliano yanayotarajiwa kutiwa saini kati ya Kongo na Rwanda katika hafla na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio, yanakuja katika wakati ambapo Marekani iko kwenye mazungumzo ya kuwekeza mabilioni ya dola nchini Kongo yenye utajiri wa madini.
Kagame akubali rai ya Marekani kukomesha mapigano Kongo
Wiki hii, Rwanda imesema pia inazungumza na Marekani kuhusu uwezekano wa mkataba wa madini.