1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongo yaanza kampeni ya chanjo ya Ebola

00:45

This browser does not support the video element.

Sylvia Mwehozi
9 Agosti 2018

Wizara ya afya nchini Jamhuri wa kidemokrasia ya Kongo imezindua kampeni ya chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola siku ya jumatano, ikiwa na matumaini ya kudhibiti mripuko wa virusi vya ugonjwa huo. Papo kwa Papo 09.08.2018.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW