Kuanzishwa kwa Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania
8 Februari 2010Matangazo
Kwa mujibu wa mamlaka ya vitambulisho nchini humo ni kwamba vitambulisho vya utaifa vinatazamiwa kuanza kutolewa mwishoni mwa mwaka huu.
Othman Miraji alizungumza kwa njia ya simu na mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya taifa, Dickson Mwaimu, juu ya zoezi hilo. Lina madhumuni gani hasa?
Mahojianio/Othman Miraji/Dickson Mwaimu
Mpitiaji:M.Abdul-Rahman