1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kubwagwa kwa mawaziri wa CCM kwamaanisha nini?

27 Oktoba 2015

Mawaziri watano wa Chama cha Mapinduzi CCM wameshindwa kwenye uchaguzi katika majimbo yao. Viongozi hao ni Stephen Wasira, Anne Kilango, Aggrey Mwanri, Christopher Chiza na Stephen Kebwe.

Mabango ya CCM
Picha: DW/M. Khelef

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW