Kugunduliwa kwa kaburi la halaiki eneo la Tana River nchini Kenya
18 Septemba 2012Matangazo
Jeshi la polisi tayari limekwisha omba kibali cha mahakama kwa lengo la kufukua kaburi hilo ili kuweza kuhesabu idadi ya miili ya watu iliyozikwa katika kabila hilo. Eric Kiraithe ni msemaji wa wa jeshi la polisi nchini Kenya na Sudi Mnette kwanza alimuuliza wana uhakika kwamba hili kaburi ni la halaiki?
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Mohammed Abdulrahman