1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kumbukumbu ya wahanga wa shambulio la bomu mjini Nairobi

8 Agosti 2007

Wahanga pamoja na jamaa za wahanga hao walioathirika katika mkasa wa shambulio la bomu la tarehe 7 August 1998 katika ubalozi wa Marekani mjini Nairobi,Kenya walikusanyika katika bustani iliyopo katika eneo la mkasa huo kwa maadhimisho ya kumbukumbu ya siku hiyo.

Mahali walipoathirika wahanga katika shambulio la Bomu mwaka 1998.
Mahali walipoathirika wahanga katika shambulio la Bomu mwaka 1998.Picha: AP
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW