Kumbukumbu ya wahanga wa shambulio la bomu mjini Nairobi
8 Agosti 2007
Wahanga pamoja na jamaa za wahanga hao walioathirika katika mkasa wa shambulio la bomu la tarehe 7 August 1998 katika ubalozi wa Marekani mjini Nairobi,Kenya walikusanyika katika bustani iliyopo katika eneo la mkasa huo kwa maadhimisho ya kumbukumbu ya siku hiyo.