1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuongezeka kwa matumizi ya nguvu ya Polisi Tanzania

25 Septemba 2012

Katika siku za karibuni, vyombo vinavyopaswa kulinda usalama nchini Tanzania vimekuwa vikilaumiwa kwa kujihusisha kwenye vitendo vya kuuvunja huo usalama wenyewe.

Kikosi cha Kuzuia Fujo cha Jeshi la Polisi la Tanzania.
Kikosi cha Kuzuia Fujo cha Jeshi la Polisi la Tanzania.Picha: AP

Iddi Ssessanga anauangalia ufanyaji kazi wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania katika wakati ambao wito kutoka wanaharakati na wanasiasa kutaka mageuzi makubwa kwenye taasisi hiyo kuu ya usalama wa ndani.

Mtayarishaji: Iddi Ssessanga
Mhariri: Mohammed Abdulrahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW