1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kurunzi Wanawake: Tatizo la mimba za utotoni Uganda

03:20

This browser does not support the video element.

24 Novemba 2021

Kazi ya kuchomelea vyuma mara nyingi inachukuliwa kuwa kazi ya wanaume. Lakini katika eneo la Busoga mashariki mwa Uganda, moja ya mikoa inayokabiliwa na mimba za utotoni baadhi ya viongozi wameamua kuanzisha mpango wa kuwafundisha wasichana kazi hii kama anavyoripoti Ibrahim Swaibu.