1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kutana na Jamila Kizondo, mchekeshaji anayeutangaza utamaduni wa Mswahili Marekani

03:23

This browser does not support the video element.

20 Julai 2022

Jamila Kizondo amejizolea umaarufu mitandaoni kwa kutumia kwake vichekesho kuutangaza utamaduni wa Mswahili nchini Marekani. Leo ndiye malkia wetu kwenye KURUNZI WANAWAKE, ambapo Fathiya Omar kutoka Mombasa amezungumza juu ya kazi zake.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW