Kutana na Mwanaharakati anayetetea haki za mashoga Uganda
03:15
This browser does not support the video element.
11 Novemba 2015
Mashoga na wasagaji Uganda wanakumbana na vitisho vya kupigwa, kubakwa na hata mauaji. Kasha Nabagesera amekuwa akiendeleza kampeni ya kutetea haki zao.