1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kutana na mwanamuziki wa Reggae wa Ghana Blakk Rasta

03:43

This browser does not support the video element.

8 Juni 2021

Mwanamuziki wa Ghana Blakk Rasta anawataja magwiji wa Reggae kama Bob Marley na Alpha Blondy kama waliomchochea. Lakini pia ameibuka na mtindo wake. Anachanganya lugha za kiafrika na midundo ya Kijamaica.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW