1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
TeknolojiaNigeria

Kutengeneza filamu kwa gharama ya chini kutumia simu ya mkononi

04:40

This browser does not support the video element.

3 Mei 2023

Tasnia ya filamu ya Nigeria maarufu kama Nollywood, inachukuliwa kuwa ya pili kwa ukubwa ulimwenguni. Lakini kutengeneza filamu nchini Nigeria si nafuu. Hata hivyo jamaa mmoja amegundua njia ya kutumia simu ya mkononi hivyo kutimiza ndoto za watengeneza filamu wanaoinuka huko Nollywood. #VijanaMubashara #77Asilimia