1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kutoka kuwa mhamiaji hadi kuwa nyota wa muziki: Chris Obehi

03:05

This browser does not support the video element.

11 Novemba 2020

Mwimbaji wa Nigeria Chris Obehi amekuwa maarufu katika mji anakoishi sasa Palermo Italia. Alitoka mjini kwao akiwa na umri wa miaka 17 kutafuta maisha mazuri Ulaya. Lakini safari haikuwa rahisi. Kwa hivyo alianza muziki kama njia ya kujiliwaza.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW