Kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa Visiwani Zanzibar
19 Februari 2010Matangazo
Alisema chama tawala cha CCM hakiwezi kubatilisha uamuzi uliopitishwa na baraza hilo la wawakilishi. Josephat Charo amezungumza na Bwana Kificho na kwanza kumuuliza juu ya uwezekano wa serikali ya umoja wa kitaifa kuundwa kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini Tanzania.
Mtayarishi: Josephat Charo
Mhariri: Othman Miraji