1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuyageuza makonteina kuwa nyumba

02:52

This browser does not support the video element.

29 Desemba 2021

Nigeria inakabiliwa na upungufu wa nyumba milioni 22. Kwa hivyo kupata nyumba ya bei nafuu si rahisi. Lakini mtaalamu wa ujenzi Pius Dare anaamini kuyageuza makonteina ya mizigo melini kuwa nyumba maridadi yaweza kuwa suluhisho nafuu. #VijanaMubashara #77Asilimia

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW