1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwa nini Afrika inabaki nyuma katika Olimpiki?

06:46

This browser does not support the video element.

14 Agosti 2024

Zilikuwa siku 16 za burudani iliyotokana na michezo ya kiwango cha juu ambapo wanamichezo walionesha umahiri wao na kujizolea medali katika michezo mbalimbali katika Olimpiki ya Paris 2024. Lakini kwa nini nchi za Kiafrika zinabaki nyuma katika mashindano mbalimbali kando na riadha?

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW