1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwa nini Afrika lazima iimarishe kilimo cha kisasa ?

01:52

This browser does not support the video element.

16 Oktoba 2023

Wataalam wameshauri kwamba kuongezeka kwa matumizi ya mashine na teknolojia katika kilimo ni suluhisho muhimu kwa uhaba wa chakula barani Afrika. Lakini kwa nini Afrika inapaswa kuongeza kasi ya matumizi ya mashine ili kupunguza njaa?

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio