1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

LAGOS: Machafuko mapya yazuka Nigeria

11 Julai 2006

Si chini ya watu 8 wameuawa na wengi wengine wamejeruhiwa katika mapambano yaliyozuka upya kati ya vikosi vya usalama na makundi ya waasi katika mji wa Onitsha,kusini-mashariki mwa Nigeria.Mapambano hayo yalizuka baada ya vikosi vya polisi kujaribu kuyafukuza makundi hayo kutoka mji huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW