1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ligi ya bodaboda

03:05

This browser does not support the video element.

22 Septemba 2020

Kusini mwa Tanzania, vijana wanaoendesha usafiri mashuhuri wa 'bodaboda' wameamuwa kujikusanya na kuandaa ligi ya soka kwa minajili ya kujenga usuhuba baina yao, kukwepa vishawishi vya uhalifu na kusaidiana maarifa kwenye kuzitumia fura zilizopo kujiendeleza. Kurunzi 22.09.2020

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW