1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Lipumba: 'Magufuli ameingia kwa kishindo'

Elizabeth Shoo12 Februari 2016

Zimetimia siku 100 tangu Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, alipoapishwa kuiongoza nchi. Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Ibrahim Lipumba, amezungumza na DW na kutoa tathmini yake:

Ibrahim Lipumba wa Chama cha Wananchi CUF
Picha: DW/M.Khelef

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW