1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

LUANDA: Ugonjwa wa Polio wachomoza upya

20 Agosti 2005

Angola imeomba msaada wa jumuiya ya kimataifa kupambana na ugonjwa wa polio.Kuna khofu kuwa ugonjwa huo wa kupooza ulioripuka upya huenda ukasambaa nje ya mipaka ya Angola,baada ya kuthibitishwa kwa kesi 7 za polio.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW