SiasaMaafa Dar es Salaam baada ya mto Msimbazi kuhama mkondo wake01:54This browser does not support the video element.SiasaAmina Abubakar11.04.201811 Aprili 2018Nyumba kadhaa zimesombwa na maji na nyingine zaidi zikiwa kwenye hatari ya kuporomoka kufuatia Mto Msimbazi kuhama mkondo wake wa asili na kuchana mkondo mwingine katikati ya makaazi ya watu kwenye Mtaa wa Majengo, Vingunguti jijini Dar es Salaam Nakili kiunganishiMatangazo