1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maafa Dar es Salaam baada ya mto Msimbazi kuhama mkondo wake

01:54

This browser does not support the video element.

11 Aprili 2018

Nyumba kadhaa zimesombwa na maji na nyingine zaidi zikiwa kwenye hatari ya kuporomoka kufuatia Mto Msimbazi kuhama mkondo wake wa asili na kuchana mkondo mwingine katikati ya makaazi ya watu kwenye Mtaa wa Majengo, Vingunguti jijini Dar es Salaam

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW