1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maafisa 15 wa Iran wawekewa vikwazo na EU

29 Januari 2026

Maafisa 15 wa ngazi za juu wakiwemo makamanda wa jeshi la ulinzi wa mapinduzi wawekewa vikwazo na Ulaya kwa ukandamizaji wa maandamano ya raia

Maafisa wa ngazi za juu wa Iran wawekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya
Maafisa wa ngazi za juu wa Iran wawekewa vikwazo na Umoja wa UlayaPicha: Sobhan Farajvan/Pacific Press/Sipa USA/picture alliance

Umoja wa Ulaya umemuwekea vikwazo waziri wa mambo ya ndani wa Iran, Eskandar Momeni pamoja na mwendesha mashtaka mkuu Mohammad Movahedi Azad miongoni mwa maafisa wengine wa ngazi za juu wa Tehran.

Iran yasema Israel itawajibishwa kwa kuishambulia

Baraza la Umoja wa Ulaya limetangaza uamuzi huo hivi leo likisema maafisa 15 wakiwemo makamanda wa jeshi la ulinzi wa mapinduzi, waliowekewa vikwazo wamehusika na ukandamizaji wa maandamano ya amani na kuendesha matukio ya kamatakamata dhidi ya wanaharakati wa kisiasa nchini humo.

Umoja wa Ulaya pia unajiandaa kuliorodhesha jeshi hilo la ulinzi wa mapinduzi la Iran kuwa kundi la kigaidi.

 

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW