1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano dhidi ya Rais Kabila yasababisha vifo vya watu 47

01:21

This browser does not support the video element.

20 Machi 2018

Watu 47 wameuawa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia maandamano ambayo yamedumu kwa mwaka mmoja dhidi ya Rais Joseph Kabila. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa. Ripoti hiyo inawashutumu maafisa wa usalama wa Congo kwa kutumia nguvu zaidi dhidi ya waandamanaji

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW