1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano kumpinga Kabila yafanyika DRC

Sudi Mnette26 Mei 2016

Kundi kubwa la upinzani Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo lafanya maandamano kupinga dhamira ya rais Joseph Kabila kutaka kusalia madarakani baada ya muda wake kumalizika mwishoni mwa mwaka huu.

Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

[No title]

This browser does not support the audio element.

Hata hivyo maandanamo hayo yamepigwa marufuku na serikali katika baadhi ya miji kama Goma na Lubumbashi lakini Kinshasa yameruhusiwa kufanyika. Kutoka huko Sudi Mnette amezungumza na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.