1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano Msumbiji

1 Septemba 2010

Nchini Msumbiji watu sita wanaaminika kuwa wameuawa baada ya ghasia kuzuka wakati wa maandamano ya kupinga ogezeko la bei za bidhaa muhimu za matumizi, kama vile unga, mkate na mafuta

Rais wa Msumbiji Armando GuebuzaPicha: picture alliance/landov

 Inasemekana watoto wawili walipigwa risasi, na watu wengine wanne wameuawa baada ya machafuko hayo. Duru zinaeleza kuwa polisi walifyatua risasi hewani ili kuutawanya umati wa watu waliokuwa wanaandamana katika mji mkuu, Maputo.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW