Maandamano Msumbiji
1 Septemba 2010
Matangazo
Inasemekana watoto wawili walipigwa risasi, na watu wengine wanne wameuawa baada ya machafuko hayo. Duru zinaeleza kuwa polisi walifyatua risasi hewani ili kuutawanya umati wa watu waliokuwa wanaandamana katika mji mkuu, Maputo.