1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano Ujerumani kupinga ubaguzi wa rangi duniani

00:54

This browser does not support the video element.

8 Juni 2020

Maelfu ya watu wanaendelea kuandamana katika nchi na miji mbalimbali duniani kupinga ubaguzi wa rangi. Maandamano hayo yamechochewa na kifo cha Mmarekani mweusi George Floyd. Nchini Ujerumani, maandamano yamefanyika katika miji ya Bonn, Köln, Hamburg miongoni mwa miji mingine.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW