1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maaskofu wa DRC wapinga Kabila kuongeza muda madarakani

27 Novemba 2015

Viongozi wa kanisa katoliki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametupilia mbali wazo la mazungumzo ya kuahirisha uchaguzi wa rais na bunge unaopangwa kuitishwa Novemba mwakani na rais Joseph Kabila.

Kanisa nchini DRC
Picha: AP

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW