1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maaskofu wawili wa Kimarekani watawazwa nchini Kenya

31 Agosti 2007

Askofu mkuu wa kanisa la Kianglikana nchini Kenya Benjamin Nzimbi amewatawaza maaskofu wawili wa Kimarekani kuwaongoza waumini walio na msimamo wa kupinga ushoga, usagaji na ndoa za jinsia moja.

Sherehe hiyo ya kutawazwa maaskofu hao ilifanyika katika kanisa katoliki la mjini Nairobi na ilihudhuriwa na mamia ya waumini.

Zainab Aziz alipata fura ya kuzungumza na askofu mkuu Benjamin Nzimbi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW