Maaskofu wawili wa Kimarekani watawazwa nchini Kenya
31 Agosti 2007
Askofu mkuu wa kanisa la Kianglikana nchini Kenya Benjamin Nzimbi amewatawaza maaskofu wawili wa Kimarekani kuwaongoza waumini walio na msimamo wa kupinga ushoga, usagaji na ndoa za jinsia moja.
Matangazo
Sherehe hiyo ya kutawazwa maaskofu hao ilifanyika katika kanisa katoliki la mjini Nairobi na ilihudhuriwa na mamia ya waumini.
Zainab Aziz alipata fura ya kuzungumza na askofu mkuu Benjamin Nzimbi.